BUJUMBURA, BURUNDI: Timu vijana wa Tanzania chini ya miaka 17(Serengeti Boys) wametwaa taji la CECAFA la chini ya miaka 17 kwa mwaka 2018 baada kuifunga Somalia goli 2-0
-
Katika michuano hiyo Uganda imemaliza ikiwa nafasi ya tatu na Kenya nafasi ya nne
.
Je, mpenzi wa soka la Tanzania unadhani huu unaweza kuwa mwanzo mzuri kwa soka letu kufika mbali katika michuano tofauti kwa siku za usoni endapo tutawekeza kwa vijana hawa?.
Serengeti Boys Watwaa Taji la CECAFA 2018.
Reviewed by Siraj Kingi
on
21:31:00
Rating:

No comments: