Huu hapa Msimao wa ligi,Simba inahitaji pointi tano tu kuwa bingwa.

Baada ya mchezo wa leo wa Kariakoo Derby Simba inajichimbia kileleni kwa kufikisha pointi 62 baada ya michezo 26. Yanga wapo katika nafasi ya 3 wakiwa na pointi 48 lakini wanamichezo miwili mkononi (viporo). Sasa Simba inahitaji pointi 5 kutawazwa mabingwa wa VPL 2017/18.

Huu hapa Msimao wa ligi,Simba inahitaji pointi tano tu kuwa bingwa. Huu hapa Msimao wa ligi,Simba inahitaji pointi tano tu kuwa bingwa. Reviewed by Siraj Kingi on 21:25:00 Rating: 5

No comments:

Powered by Blogger.